Hapa ni wageni mbalimbali kutoka kanisa la Anglikana,CBM-AUSTRALIA,Mkurugenzi wa elimu maalum(wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi)ofisi ya elimu mkoa na wilaya,walimu na wajumbe wa kamati ta shule ambao walikuwa wakifanya tathmini ya maendeleo ya ujenzi huo tarehe 13.02.2013.
Hapa wageni wa CBM wakiangalia darasa linalotumiwa na viziwi ambalo limegawanywa kwa ceiling board ili kupata madarasa matatu ndani ya chumba kimoja,kutoka kushoto,Mr.J.Katindasa(mwalimu mtaalam)Kirstin Lee Bostelmann(CBM-regional office of Kenya)Mr.T.Ngajilo(Mkuu wa kitengo cha viziwi),Simon Duffy(CBM-Australia).
No comments:
Post a Comment